1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days.Kwa msaada zaidi piga 0784778788
2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na mumewe. Ni rahisi kutumia.
3. Fanya tendo la ndoa kabla ya kuengua yai (kabla ya ovulation), huongeza uwezekano wa kushika mimba kuliko kusubiria ovulation au kufanya baada ya ovulation. Kutaneni siku mbili au tatu kabla ya ovulation. Ukitumia ovulation test kit, mkutane kuanzia siku itakapokuwa positive kwani huwa inapredict ovulation kutokea 48 hrs after it tests positive.
4. Usitegemee njia ya kalenda kutabiri uenguaji yai, njia hii kwa kiasi fulani huweza kuwasaidia wale wenye mzunguko wa siku 28, lakini pia haina uhakika wa 100%, wengi wa wanawake hawaengui yai siku ya 14 ya mzunguko wa hedhi, kwa hiyo kutegemea kalenda kutakuchelewesha kupata ujauzito.
5. unapotaka kushika mimba, acha au punguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya pombe, sigara au dawa za kulevya.
6. unapotaka kupata mimba, tendo la ndoa liwe kitu 'enjoyable' na sio tendo 'mechanical' kwa ajili ya kutafuta mtoto. Plan a romantic evening or try something different to spice things up. How you are feeling sexually may increase your chances of getting pregnancy. For women a better orgasm may help pull the sperms into the uterus and for men a better orgasm may increase their sperm count.
7.Kufanya mapenzi katika mtindo (style) ambayo itafanya mbegu za kiume zikae kwa muda mrefu ukeni na hivyo nyingi kupanda kuingia kwenye kizazi na kwenda kurutubisha yai. 'missionary position' ni nzuri zaidi, ambapo mwanaume anakuwa juu, epuka positions za mwanamke kuwa juu kwani hufanya mbegu zimwagike kwa gravity. Jaribu pia kuweka mto chini ya kiuno ili kukiinua na kufanya mbegu ziingie ndani kwa urahisi zaidi.
Kumbuka kuna asilimia 10 - 25 ya couples ambazo zina matatizo ya infertility lakini vipimo havionyeshi tatizo, inaweza kuwa namna ya kufanya mapenzi ndio ikawa shida, jaribu njia hizo 7 juu.
Kama hizi njia hazijakusaidia basi utakuwa na matatizo na unaweza kumuona daktari kwa msaada wa vipimo na matibabu.
Natumaini uzi huu unaweza kuwa msaada kwa watafutao watoto.
Related Posts
Haya ni Mambo yasiyopaswa kufanya wakati wa ujauzito (Practices Incompatible with Pregnancy)
Ufwatao ni mwenendo wa maisha ambao una athari kubwa kwa ujauzito wako;1. Kunywa PombeMwanamke[...]
Mar 03, 2022AFYA: Soma Tahadhari Kuhusu Ugonjwa wa RED EYES Tanzania,Imetolewa leo
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa macho mekundu (Red eyes) unaosababishwa n[...]
Jan 16, 2024Hii ndiyo Faida ya Tende Mwilini
Kila wakati unashauriwa na watalam wa afya ya kwamba unatakiwa kula tende kwa wingi ili kupata[...]
Jan 16, 2024Haya hapa Matunda Yanayoweza Kukupatia Muonekano Mzuri wa Ngozi Yako
Baadhi ya watu wamekuwa wanachukulia kirahisi ulaji wa matunda, lakini unapaswa kujua kw[...]
Jan 18, 2024Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna mbili, ama kupitia[...]
Mar 05, 2024AFYA:Hivi hapa Vyakula 6 vinavyoongeza Nguvu za Kiume Haraka
Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upun[...]
Aug 17, 2021Imarisha misuli ya uume wako na kupunguza tatizo la kumaliza mapema kwa kutumia mazoezi madogo tu (Improve your Penis function by doing simple exercises)
Kumaliza mapema (Premature ejaculation) wakati wa tendo la ndoa ni tatizo linalowakumba wanaum[...]
Mar 03, 2022