Kwa mujibu wa maelekezo yaliyotolewa na Chuo Kikuu Cha Marekani cha Masuala ya Uzazi na Magonjwa ya Wanawake, mama mjamzito haruhusiwi kufanya mazoezi iwapo atakuwa na matataizo yafuatayo:
• Ugonjwa wa moyo.
• Ugonjwa wa mapafu.
• Kizazi kisichojitocheleza au kitaalamu cervical insufficiency/cerclage.
• Mimba ya mapacha, mapacha wawili, watatu na kuendelea na iwapo ana hatari ya kujifungua mapema kabla ya muda kutimia.
• Kutokwa na damu kunakoendelea katika miezi mitatu ya pili na ya tatu ya mimba.

• Mfuko wa uzazi ulioko upande wa chini wa kizazi au placenta previa. Hasa baada ya wiki 26 ya mimba.
• Uwezekano wa kujifungua mapema kabla muda haujatimia.
• Iwapo chupa imevunjika.
• Kifafa cha mimba (preeclamsia)
• Shinikizo sugu la damu.
• Ukosefu mkubwa wa damu.
• Kutokwa na majimaji ukeni.
• Ongezeko la mapigo ya moyo, hata wakati wa mapumzik
 
Top