Katika siku chache zilizopita wakazi katika jimbo la Ondo wamekufa saa chache baada ya kuhisi macho hayaoni sawa sawa na kuumwa na vichwa baadaye wanazimia.
Msemaji wa WHO ameeleza kuwa ukaguzi uliofanywa hadi sasa kutafuta virusi au bacteria haukugundua kitu.
Amesema kwa sasa mawazo yao ni kuwa vifo hivyo vilisababishwa na dawa ya kuua magugu.
Via>>BBC